.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 22 Machi 2016

NAIBU SPIKA WA BUNGE AHUDHURIA VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE KATIKA KUMBI ZA BENKI KUU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

  Naibu Spika wa Bunge, Tulia Mwansasu (kushoto) akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo alipohudhuria kikao cha kamati hiyo kilichoketi katika Kumbi za Benki Kuu (BoT Dar es Salaam leo.Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, William Ngeleja.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo, William Ngeleja (kulia), akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo wakati akimkaribisha Naibu Spika wa Bunge, Tulia Mwansasu (kushoto), katika kikao cha kamati hiyo kilichoketi Dar es Salaam leo. Naibu Spika jana alihudhuria baadhi ya vikao vya Kamati za Bunge.
Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba, Joseph Mhagama (kulia), akizungumza na wajumbe wa kamti hiyo (hawapo pichani), wakati akimkaribisha Naibu Spika wa Bunge kwenye kikao hicho.
Mjumbe wa kamati hiyo, Omary Badwel akichangia jambo kwenye kikao hicho mbele ya Naibu Spika. Kushoto ni Mjumbe Anna Joram Kidarya.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo wakiwa kwenye kikao hicho.

(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni