.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 20 Machi 2016

NEWCASTLE YAPIGANA KIUME NYUMBANI NA KUAMBULIA POINTI MOJA

Mchezaji Aleksandar Mitrovic ameipatia pointi moja muhimu Newcastle dhidi ya wapinzani wao waliopamoja mkiani timu ya Sunderland katika pambano kali la kujaribu kukwepa kushuka daraja lililoishia kwa sare ya 1-1.

Mshambuliaji huyo raia wa Serbia aliunganisha kwa kichwa krosi ya Georginio Wijnaldum dakika saba kabla ya mpira kuisha na kumpatia sare ya kwanza kocha mpya wa Newcastle Rafael Benitez. Jermain Defoe alifunga bao la kwanza kwa Sunderland.
                                Aleksandar Mitrovic akiupiga mpira kichwa na kujaa wavuni
                                              Jermain Defoe akipiga shuti mpira uliojaa wavuni

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni