.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 20 Machi 2016

MASHABIKI WADUNDANA MOROCCO NA KUSABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI

Watu wawili wamekufa na wengine 49 kujeruhiwa katika mji mkubwa wa nchini Morocco baada ya mashabiki wa wapinzani wa Raja de Casablanca kupigana ngumi baada ya mchezo wao uliofanyika jumamosi.

Mashabiki walikuwa wakikimbia mapigano hayo ambapo vitu vilirushwa viti viling'olewa katika dimba la Mohammed V, licha ya wenyeji kushinda kwa mabao 2-1 dhidi ya Chabab Rif Al Hoceima ya Al Hoceima kaskazini mwa Morocco.
              Mashabiki waliokuwa taabani kufuatia ghasia hizo wakilazwa uwanjani
                  Shabiki aliyepoteza fahamu akiwa amebebwa kuondolewa jukwaani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni