.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Machi 2016

POLISI WA UBELGIJI WAKAMATA VITU HATARI KWENYE NYUMBA YA MAGAIDI


Polisi nchini Ubelgiji wamepata msumari wa bomu, chemikali na bendera ya kundi la Dola ya Kiislam (IS) katika msako kwenye nyumba ya watuhumiwa wa ugaidi saa chache baada ya matukio ya milipuko ya mabomu iliyouwa watu 34, Jijini Brussels.

Kupatikana kwa vitu hivyo kumepelekea polisi kufanya upekuzi kwenye majengo ya wilaya ya Shaerbeek kaskazini mashariki mwa Brussels, ambako watuhumiwa wawili wa mashambulizi ya Jijini Paris waliishi.
               Wataalam wa upelelezi wa alama mbalimbali wakiendelea na kazi yao

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni