.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Machi 2016

MWANAMUZIKI ADELE AMEWASHUTUMU MAGAIDI KWA MAUAJI BRUSSELS

Mwanamuziki Adele amewashutumu magaidi waliohusika na milipuko ya mabomu ya Ubelgiji, akiwa katika tamasha lake ukumbi wa O2 Arena jana usiku, huku mashabiki wake wakiwasha simu zao ukumbi mzima kuungana Jiji la Brussels.

Adele alisitisha kwa muda kuimba Jijini London, wakati akiongelea kwa hisia kubwa tukio la milipuko ya Jiji la Brussels iliyouwa watu 34, na katika kuungana na wakazi wa jiji hilo la Ubelgiji.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni