.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Machi 2016

RAIS WA NIGER MAHAMADOU ISSOUFOU APATA USHINDI WA KISHINDO

Rais wa Niger, Mahamadou Issoufou, amechaguliwa tena kwa muhula wa pili kwa kupata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa marudio uliogubikwa na utata.

Tume ya Uchaguzi imesema rais Issoufou amepata zaidi ya asilimia 90 ya kura zote katika uchaguzi wa jumapili, ambao wapinzani waliususia.

Mpinzani wake Mkuu, Hama Amadou, ambaye wiki iliyopita alisafirishwa kwa ndege kwenda Ufaransa kwa matatibabu amepata kura asilimia 8.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni