Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa watendaji wakuu wa taasisi tatu za serikali kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo.
Rais amewateua Profesa Godius Kahyarara kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la hifadhi ya jamii ( NSSF ), Dk. Ayub Rioba Chacha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania ( TBC ) na Dr. Mussa Mgwatu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya hodhi ya rasimali za reli Tanzania ( Rahco )
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni