Viongozi wa Umoja wa Ulaya
wanatarajia kukutana kukamilisha makubaliano na Uturuki ili kudhibiti
mgogoro wa wahamiaji.
Rais wa Baraza la Ulaya Donald Tusk
amekiri kuwa kuna mambo kadhaa katika makubaliano hayo yanabakia kuwa
hayajatatuliwa.
Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet
Davutoglu anatarajiwa kuhudhuria mkutano huo kesho.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni