.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Machi 2016

WANAWAKE WAJILIPUA MSIKITINI NIGERIA NA KUUWA WATU 22

Wanawake wawili waliojitoa mhanga wameshambulia msikiti kaskazini mashariki mwa Nigeria katika mji wa Maiduguri na kuwauwa waumini 22.

Mlipuaji wa kwanza alifanya shambulizi ndani ya msikiti, wakati wa pili akijilipua nje wakati manusura wakitoka nje na kukimbia.

Watu wengine 18 wamejeruhiwa katika shambulizi hilo, jeshi la Nigeria limesema.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni