.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 17 Machi 2016

WAPIGANAJI WA KIKURDI WAKIRI KUHUSIKA NA MILIPUKO YA UTURUKI

Kundi la wapiganaji wa Kikurdi la TAK limesema ndilo lililofanya shambulizi baya kubwa katika Jiji Kuu la Ankara nchini Uturuki.

Taarifa iliyotolewa kwa njia ya mtandao kundi hilo limesema shambulio hilo lililouwa watu 37 ni la kulipa kisasi dhidi ya operesheni za kijeshi eneo la Wakurdi la kusini mashariki.

Wapiganaji wa kundi la TAK, ambao ni sehemu ya Chama cha Wafanyakazi wa Kikurdi (PKK) kilichopigwa marufuku, wamesema ndio pia waliohusika na mlipuko wa bomu la Ankara mwezi uliopita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni