.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 7 Aprili 2016

BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAKAMATA SHEHENA YA MAFUTA YA KUPIKIA YALIYOINGIZWA NCHINI KINYUME CHA SHERIA

Wafanyakazi wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar wakifungua Godauni lenye mafuta ya kupikia yanayokaribia kumaliza muda wake wa matumizi ya kula binadamu, eneo la Amani magogoni Mjini Zanzibar.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Premium Enterprises Ndg.Humud Nassor Humud akiyakagua ili kuyatambua madumu ya kampuni yake ambayo yamekamatwa na Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar yakitumiwa na wafanyabiashara wasio waaminifu kutia mafuta ya kupikia yanayokaribia kumaliza muda wake ili yaonekane kuwa ni mapya.
Shehena ya maboksi ya mafuta ya kula yaliyoingizwa nchini kinyume na sheria.
Mkuu wa Idara ya Usalama na Ubora wa Chakula wa (ZFDB) Bi. Aisha Suleiman akizungumza na wandishi wa habari kuhusu kukamatwa mafuta yaliyoingizwa nchini kinyume na sheria yenye thamani ya miliono 40.
                                                       (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzuibar.)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni