.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 11 Aprili 2016

CHINA YAJA NA MIKAKATI YA KUWA TAIFA KUBWA KISOKA DUNIANI

Nchi ya China imebainisha mkakati wa kuwa taifa kubwa katika soko duniani ifikapo 2050, ikiwa na mipango ya kuwapata watoto milioni 50 na watu wazima wanaocheza soka ifikapo 2020.

Malengo mengine ni pamoja na kuwa na vituo vya mafunzo vipatavyo 20,000 pamoja na viwanja 70,000 ifikapo 2020.

Hayo yanakuja wakati China ikitakata kwenye michezo ya Olimpiki na Olimpiki Maalum na iliwahi kufuzu katika kombe la dunia mwaka 2002.

Rais Xi Jinping ni mpenzi wa mpira wa miguu na awali aliwahi kusema anataka kuona China inatwaa Kombe la Dunia katika kipindi cha miaka 15.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni