.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 27 Aprili 2016

KAMATI YA NIDHAMU KUKAA JUMAPILI

Kikao cha Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kinatarajiwa kufanyika Jumapili, Mei Mosi 2016 jijini Dar es salaam.

Kamati hiyo ya Nidhamu itapitia mashauri mbalimbali yaliyowasilishwa.  

Wafuatao kesi zao sitasikilizwa katika kikao hicho:

(i)  John Bocco – Azam FC
(ii) Shomari Kapombe – Azam FC
(iii) Aishi Manula – Azam FC
(iv) Amissi Tambwe – Yanga SC
(v) Donald Ngoma  - Yanga SC

(vi) Paulo Jinga – JKT Rwamkoma FC
(vii) Kipre Tchetche – Azam FC
(viii) Abel Katunda – Transit Camp
(ix) Zephlyn Laurian – JKT Rwamkoma FC
(x) Idrisa Mohamed – JKT Rwamkoma

(xi) DR. Mganaga Kitambi (Daktari) – Coastal Union
(xii)  Herry Chibakasa – Friends Rangers
(xiii) Ismail Nkulo – Polisi Dodoma
(xiv) Said Juma – Polisi Dodoma

(xv)  Idd Selaman – Polisi Dodoma
(xvi) Edward Amos – Polisi Dodoma
(xvii) Stewart Hall (Kocha)– Azam FC

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni