.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 27 Aprili 2016

TATIZO LA VIJANA NA WATOTO WANENE LAONGEZEKA NCHINI CHINA

Tatizo la unene limeongezeka kwa kasi kwa vijana wa vijijini nchini China, utafiti uliofanywa umebaini na kuonya kuwa hali hiyo inachangiwa mabadiliko ya uchumi wa jamii.

Takwimu za utafiti huo zilizochukuliwa kutoka kwa tafiti sita za serikali ya China kwa wanafunzi kwenye shule za vijijini huko Shandong wenye umri wa kuanzia miaka 7 hadi 18.

Asilimia za watoto wenye uzito mkubwa nayo imeongezeka kutoka asilimia 0.7 hadi asilimia 16.4 kwa watoto wakiume na asilimia 1.5 hadi asilimia 14 kwa watoto wakike.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni