.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 29 Aprili 2016

KATIBU WA BUNGE AONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI YA MKUTANO WA MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI

1Mwenyekiti wa kikao cha Makatibu wa Mabunge wa Afrika Mashariki Dkt. Thomas Kashilila akiongoza kikao cha maandalizi ya mkutano wa Maspika wa Afrika Mashariki leo jijini Arusha.
2Mwenyekiti wa kamati ya maadalizi ya mkutano wa Maspika wa Afrika Mashariki Dkt. Thomas Kashilila (kushoto) akiongoza kikao hicho leo jijnii Arusha. Kulia ni Katibu wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Bw. Keneth Madete.
6 
Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kimataifa na Itifaki wa Bunge la Tanzania Jossey Mwakasyuka (kushoto) akiwa na Msaidizi wa Katibu wa Bunge la Tanzania ndugu Emmanuel Mpanda
5
Makatibu wa Mabunge ya Afrika Mashariki wakitoka ukumbini baada ya ufunguzi wa kikao cha maandalizi ya mkutano wa Maspika wa Afrika Mashariki leo jijini Arusha.
4Mwenyekiti wa kikao cha Makatibu wa Mabunge wa Afrika Mashariki Dkt. Thomas Kashilila (wa kwanza kulia) akiwa na baadhi ya Makatibu wa Mabunge ya Afrika Mashariki wakiwa Jijini Arusha. Wa kwanza kushoto ni Katibu wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Bw. Keneth Madete na Katibu wa Bunge la Kenya Bw. Justine Bundi (katikati).
3
Makatibu wa Mabunge ya Afrika Mashariki na Baadhi ya Maafisa wakiwa katika picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa kikao cha maandalizi ya mkutano wa Maspika wa Afrika Mashariki leo jijini Arusha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni