.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 29 Aprili 2016

MWILI WA MAMA LUCY KIBAKI KUWASILI KENYA JUMAPILI

Mwili Mama Lucy Kibaki ambaye ni mke wa rasi wa zammani wa Kenya utawasili kwa ndege Jijini Nairobi, ukitokea London alipofariki dunia akipatiwa matibabu.

Balozi wa Kenya nchini Uingereza Bw. Lazarus Amayo amesema mwili wa Mama Lucy Kibaki utaondoka kwa ndege siku ya Jumamosi Jijini London na kuwasili Jumapili alfajiri katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni