.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 9 Aprili 2016

KOREA KASKAZINI YAZINDUA INJINI YA MAKOMBORA YANAYOFIKA MAREKANI

Korea Kaskazini imesema imefanikiwa kufanya majaribio injini iliyotengenezwa kuweza kurusha kobora la nyuklia katika umbali wa kukatiza mabara.

Shirika la habari la Korea la KNCA limesema injini hiyo inatoa uhakika wa uwezo wa kushambulia ardhi ya Marekani.

Majaribio ya injini hiyo ya kurusha makombora kwa masafa ya mbali zaidi yamefanyika karibu na eneo la Pwani ya Magharibi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni