.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 8 Aprili 2016

MAHAKAMA YASEMA SI KOSA KUMUITA KINYOZI SHOGA NCHINI UFARANSA

Mahakama Jijini Paris nchini Ufaransa imetoa uamuzi kuwa kumuita shoga kinyozi wa kiume sio tusi la kukera kwa kuwa saluni nyingi huajiri vinyozi mashoga.

Uamuzi huo wa mahakama unafuatia kesi iliyofunguliwa na kinyozi ambaye alifukuzwa kazi na bosi wake baada ya kutofika kazini kutokana na kuwa mgonjwa.

Bosi wake huyo alimtumia meseji ya kumtimua kazi kinyozi huyo ambapo pia alimuita kuwa ni shoga mchafu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni