.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 8 Aprili 2016

RUBANI AGOMA KURUSHA NDEGE INDIA KUSHINIKIZA APEWE RUBANI MSAIDIZI MWANAMKE

Rubani mwanaume wa Shirika la Ndege la India ameripotiwa kugoma kurusha ndege hadi arudishiwe rubani mwenzake msaidizi ambaye ni mwanamke, jambo lililosababisha abiria 110 kukwama saa kadhaa.

Abiria wa ndege hiyo waliokuwa wakitokea Chennai kwenda Male kupitia Thiruvananthapuram nchini India walikwama kwa muda wa saa tatu, hadi pale shirika la ndege hiyo lilipomrejesha rubaini huyo msaidizi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni