.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 8 Aprili 2016

MKONGO CEDRIC BAKAMBU AIPATIA USHINDI VILLARREAL

Mchezaji aliyekwenye ubora wake Cedric Bakambu amecheka na nyavu mara mbili wakati Villarreal ikiifunga Sparta Prague magoli 2-1 katika mchezo wa kwanza wa robo fainali wa Ligi ya Uropa.

Mshambuliaji huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, alipachika goli la kwanza katika dakika ya tatu tu ya mchezo huo lakini likasawazishwa na Jakub Brabec kabla ya kuongeza la pili katika dakika ya 63.
   Mkongo Cedric Bakambu akiwa kazini akichuana na kipa wa Sparta kuwania mpira

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni