Malkia Elizabeth wa Uingereza
amepokelewa na kundi la watu waliokuwa wakiimba 'Happy birthday
Queenie' katika mitaa ya Windsor wakati alipofika katika mitaa hiyo.
Malkia Elizabeth anasherehekea
kutimiza miaka 90 hii leo, alifika katika mitaa ya Windsor
akiambatana na mumewe kwenye gari lenye uwazi kwa juu.
Malkia Elizabeth akiwa na mumewe kwenye gari
Malkia Elizabeth akipongezwa kwa kupewa mashada ya maua kwa kufikisha miaka 90
Pongezi zilizoambatana na zawadi za maua zikiendelea
Kikosi cha askari wa utawala wa Kifalme wa Uingereza kikikatiza mitaa ya Windsor





Hakuna maoni :
Chapisha Maoni