.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 21 Aprili 2016

MAMIA YA WANANCHI WAMZIKA ALIYEKUWA AFISA ELIMU WILAYA YA MBEYA VIJIJINI MAMA MARGARETH MGIMWA MBWILO

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela akimpa pole Mkuu wa mkoa mstaafu Mh Erasto Mbwillo kufuatia kifo cha mke wake ambaye alikuwa Afisa Elimu Mbeya Vijijini Mama Margareth Mgimwa Mbwilo. 

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela alimuwakilisha Mkuu wa mkoa wa Iringa katika mazishi mke wa Mkuu wa mkoa mstaafu Mh Erasto Mbwillo, Afisa Elimu Mbeya Vijijini Mama Margareth Mgimwa Mbwilo. 

Msiba huo uliondeshwa na Makamu Mkuu wa Chuo Padri Dr Mgimwa, pia uliudhuriwa na Jaji Mkuu Mh. Chande Othman, Mtendaji Mkuu wa Mahakama Bwana Katanga, Mkuu wa Mkoa Simiyu Bwana Anthony Mtaka, Wakuu wa wilaya Makete- Mh Daud Yassin, Rungwe Mh Zainab Mbiro na Songea Mh Mpesya pamoja na viongozi wengine wengi wakiwemo wastaafu wakiongozwa na aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Mbeya mstaafu Mh Abbas Kandoro.
Jaji Mkuu Chande Othman ( kushoto ) akiwa msibani
Jaji Mkuu Chande Othman akimfariji Mkuu wa mkoa mstaafu Mh Erasto Mbwillo kufuatia kufiwa na mke wake.
Waombolezaji wakiwa msibani
                                                                                                                Misa ikiendelea
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela ( kulia ) akishauriana jambo na Mkuu wa mkoa mstaafu Mh Erasto Mbwillo.
                                                                                    Waombolezaji wakiwa msibani



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni