.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 4 Aprili 2016

MAPIGANO MAKALI YATOKEA KATIKA JIJI LA BRAZZAVILLE

Mapigano ya silaha nzito yamesikika katika barabara za Brazzaville mji mkuu wa Jamhuri ya Congo ambapo vikosi vya usalama vimepelekwa.

Kituo kimoja cha polisi na jengo moja la serikali lilishambuliwa Jumatatu asubuhi kwenye wilaya ya Makelekele.

Serikali ya Jamhuri ya Congo imelishutumu kundi linalojiita Ninja kwa kufanya mashambulizi hayo.

Mashambulizi hayo yamefanyika ikiwa ni wiki chache kupita baada ya rais Denis Sassou Nguesso kushinda urais kwa muhula wa tatu katika uchaguzi uliotiliwa shaka.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni