.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 4 Aprili 2016

WATU 25 WAUWAWA NA MAKUMI KUJERUHIWA KATIKA MASHAMBULIZI IRAK

Watu wapatao 25 wameuwawa na makumi kujeruhiwa katika mashambulizi ya mabomu kwenye maeneo mbalimbali ya Irak.

Walipuaji wapatao 10 wamefanya mashambulizi hayo, ambayo yameelezwa yalikuwa yanawalenga maafisa wa vikosi vya usalama na washirika wao wa kikundi cha Shia.

Kundi la Dola ya Kiislam (IS) ambalo linashikilia eneo la kaskazini na mashariki limesema limehusika na mashambulizi hayo.

Katika moja ya shambulio baya mtu aliyejitoa mhanga alijilipua na kuuwa watu 14 kwenye hoteli.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni