.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 11 Aprili 2016

MWANDISHI ALIYEWASAIDIA AL-SHABAAB KUWAUWA WENZAKE NAYE AUWAWA

Mwandishi nchini Somalia aliyewasaidia al-Shabaab kuwauwa waandishi wenzake watano ameuwawa kwa adhabu ya kupigwa risasi.

Mwandishi huyo Hassan Hanafi, ambaye aliwahi kuwa mtangazaji anayeheshimika, alihukumiwa kifo mwezi uliopita na mahakama ya kijeshi Jijini Mogadishu.

Hanafi aliwasaidia wapiganaji wa al-Shabaab kuwatambua waandishi waliokuwa wanahitaji kuwauwa kati ya mwaka 2007 na 2011.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni