Timu ya Real Madrid imekwea pipa kwenda Ujerumani
tayari kwa mchezo wao wa kwanza wa wa robo fainali ya Ligi ya
Mabingwa Ulaya dhidi ya Wolfsburg, huku wachezaji wake wakiwa kwenye
hali nzuri baada ya kuichapa Barcelona mwishoni mwa wiki.
Cristiano Ronaldo alifunga goli lake la tisa
katika dimba la Nou Camp katika mchezo wao wa El Clasico na kuifanya
Real kupunguza pengo la pointi na kubakia saba tu dhidi ya Barcelona,
na kujiamini kumeongezeka wakati wakielekea Ujerumani kwa safari ya
saa nne na nusu.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni