Bunge la Afrika Kusini linatarajia kupigia kura
hoja ya kambi ya upinzani ya kumbana rais Jacob Zuma ang'okea
madarakani.
Chama cha Democratic Alliance (DA) kimesema rais
Zuma hafai kuendelea kuongoza baada ya mahakama ya juu wiki iliyopita
kusema alivunja Katiba kwa kushindwa kurejesha fedha za umma
zilizotumika kukarabati nyumba yake binafsi.
Chama tawala cha African National Congress (ANC)
kinatarajiwa kuidhibiti hoja hiyo ya upinzani isipite.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni