.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 5 Aprili 2016

WILLIAM RUTO ANGOJEA KUJUA HATMA YA KESI YAKE YA ICC LEO

Makamu wa rais wa Kenya William Ruto anatarajia kubaini kama kesi uhalifu dhidi ya binadamu inayomkabili itaondolewa na Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) watakapotoa uamuzi.

Ruto amekana kuhusika na mashtaka ya mauaji pamoja na kutumia vitisho katika kipindi cha machafuko yalitotokea nchini Kenya baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa mwaka 2007 ambapo watu 1,200 waliuwawa.

Wakili wake anataka kesi hiyo kufutwa kutokana na kukosekana kwa ushahidi. Ruto ni mmoja wa maafisa wa ngazi za juu wa serikali ya Kenya kushitakiwa mahakama ya ICC.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni