Nchi ya Saudi Arabia imetekeleza adhabu ya kifo kwa raia wake
aliyetiwa hatiani kwa mauaji siku ya Alhamisi na kufanya idadi ya
watu waliouwawa kwa adhabu hiyo kufikia 82 katika mwaka huu.
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imesema mtu huyo
Mohammed al-Khaweir al-Qahtani alitiwa hatiani kwa kumpiga risasi na
kumuua Hussein al-Shayeb al-Qahtani kufuatia ugomvi baina yao.
Serikali ya Uingereza imekuwa ikiyahimiza makundi ya kutetea
haki za binadamua kuishinikiza Saudi Arabia kusitisha adhabu hiyo ya
kikatili.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni