.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 7 Aprili 2016

WINNIE MANDELA AGONGA MWAMBA MADAI YA KUTAKA KUMILIKI NYUMBA YA MANDELA

Mtalaka wa Mzee Nelson Mandela, Winnie Mandela amejikuta akigonga mwamba mahakamani baada ya shauri lake alilofungua la madai ya kupewa umiliki wa nyumba ya Mandela iliyopo Kijiji cha Qunu, kutupiliwa mbali.

Kama hiyo haitoshi mahakama pia imemtaka Winnie Mandela alipe gharama za kesi hiyo, baada ya kushindwa katika kesi hiyo.

Marehemu Nelson Mandela ambaye alikuwa ni rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini mwaka 1994, ameacha wosia nyumba hiyo kuwa imilikiwe na familia yake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni