Ikiwa ipo nyuma kwa goli moja
walilofungwa katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali, Bayern
walisawazisha kupitia kwa mpira wa adhabu wa Xabi Alonso, ambapo pia
Kipa wa Atletico Jan Oblak aliokoa penati ya Thomas Muller.
Mchezaji Antoine Griezmann
aliisawazishia Atletico, hata hivyo baadaye goli la kichwa la Robert Lewandowski lilifanya hali
kubadilika. Nafasi ya Atletico kupata goli la pili ilipotea baada ya
Fernando Torres kukosa penati.
Robert Lewandowski akipiga mpira wa kichwa uliojaa wavuni
Fernando Torres akipiga penati iliyopanguliwa na kipa Neuer
Wachezaji wa Bayern Munich wakitoka vichwa chini baada ya kutolewa
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni