Muigizaji filamu nyota, Daniel
Craig, inadaiwa amewaambia mabosi wa studio amechoka kucheza jukumu
la James Bond 007.
Taarifa hizo zimeibuka siku chache
tu baada ya wabashiri kuanza kubeti kuwa msomi wa Chuo cha Cambridge,
Tom Hiddleston atakuwa James Bond ajaye.
Craig ni miongoni mwa waigizaji
filamu wanaolipwa fedha nyingi kwa kuigiza, ambapo inaelezwa
ameinginza kiasi cha paundi milioni 38 kwenye filamu nne alizoigiza.
Daniel Craig akiwa katika majukumu yake ya uigizaji kwenye moja ya filamu


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni