.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 19 Mei 2016

DANIEL CRAIG ADAIWA KUCHOKA KUCHEZA FILAMU KAMA JAMES BOND

Muigizaji filamu nyota, Daniel Craig, inadaiwa amewaambia mabosi wa studio amechoka kucheza jukumu la James Bond 007.

Taarifa hizo zimeibuka siku chache tu baada ya wabashiri kuanza kubeti kuwa msomi wa Chuo cha Cambridge, Tom Hiddleston atakuwa James Bond ajaye.

Craig ni miongoni mwa waigizaji filamu wanaolipwa fedha nyingi kwa kuigiza, ambapo inaelezwa ameinginza kiasi cha paundi milioni 38 kwenye filamu nne alizoigiza.
       Daniel Craig akiwa katika majukumu yake ya uigizaji kwenye moja ya filamu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni