.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 17 Mei 2016

KIPA DAVID DE GEA YUPO TAYARI KUIHAMA MAN UTD IWAPO VAN GAAL ATABAKI

Kipa wa Manchester United, David de Gea, yupo tayari kuachana na klabu hiyo katika msimu wa majira ya joto iwapo kocha Louis van Gaal ataendelea kuinoa timu hiyo.

Kipa huyo raia wa Hispania anahisi kuwa na wakati mgumu chini ya kocha huyo Mdachi, licha ya kusaini mkataba wa miaka minne mwanzoni mwa msimu huu.

Chanzo ndani ya Old Trafford kimesema De Gea, ambaye anatakiwa na Real Madrid, atashinikiza ili kufanikisha uhamisho wake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni