.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 17 Mei 2016

CLAUDIO RANIERI KOCHA BORA WA MWAKA UINGEREZA

Kocha wa Leicester City, Claudio Ranieri, ametajwa kuwa kocha wa mwaka na Chama cha Makocha wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Kocha huyo raia wa Italia, ametangazwa kufuatia kuiongoza Leicester kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza kwa mara ya kwanza katika historia ya kabu hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni