Jumatatu, 16 Mei 2016
MAJALIWA AONDOKA LONDON KUREJEA DAR
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na wafanyakazi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London wakati alipoondoka kwenye hoteli ya Intercontinental kurejea Dae es salaam Mei 15, 2016 Kushoto ni Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni