Mama wa mwanamuziki wa Marekani,
Janet Jackson, imeripotiwa kumhamasisha mtoto wake huyo kupata
ujauzito kabla ya umri haujamtupa mkono.
Mwanamuziki huyo mwenye umri wa
miaka 49, atafikisha miaka 50 Mei 16, inaaminika kuwa anatarajiwa
kupata mtoto wa kwanza na mumewe Wissam Al Mana.
Hata, hivyo mama yake mzazi
Katherine Jackson, 86, ndiye inasemekana amemshawishi Janet kupata
mtoto, kwa kumuambia akiwa na umri kama wake alishakuwa na wajukuu.
Mama wa Janet Jackson, Bibi. Katherine Jackson
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni