Manchester City ni kama
wamejihakikishia kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kutoka sare
ya bao 1-1 na kumaliza katika nafasi ya nne katika Ligi Kuu ya
Uingereza.
Manchester City ilijikuta ikinyimwa
ushindi na kugawana pnti kufuatia mpira wa shuti la Andre Ayew
uliogongwa na kubadili muelekeo na kusawazisha goli la Kelechi
Iheanacho alilofunga kwa shuti la karibu.
Ili Manchester United iweze kushika
nafasi ya nne, itahitaji kushinda magoli 19, kwa bila jambo ambalo
kimehaseba ni gumu kuwezekana.
Kelechi
Iheanacho akiifungia goli timu yake ya Manchester City
Andrew Ayew akipiga mpira uliogongwa na kuingia wavuni



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni