.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 16 Mei 2016

ANDY MURRAY ATWAA USHINDI WA MICHUANO YA WAZI YA ITALIA

Andy Murray amesema atapaswa kukabiliana na presha baada ya kutwaa ubingwa wa kwenye uwanja wa udongo kwa mara ya kwanza dhidi ya Novak Djokovic, katika michuano ya wazi ya Italia Jijini Roma.

Muingereza Murray ambaye amefikisha umri wa miaka 29 siku ya Jumapili, amemshinda mchezaji huyo namba moja duniani katika viwango vya tenesi kwa seti 6-3 6-3.
                     Ushindi ulinogesha pia sherehe ya siku ya kuzaliwa Andy Murray

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni