.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 14 Mei 2016

WATU ZAIDI YA 50 WAMEUWAWA NA RADI NCHINI BANGLADESH

Watu zaidi ya 50 katika maeneo tofauti ya Bangladesh wamekufa baada ya kupigwa na radi katika siku mbili zilizopita.

Polisi wa nchi hiyo wamesema wengi wa waliokufa walikuwa ni wakulima ambao waliuwawa na radi wakiwa mashambani.

Nchi ya Bangladesh huwa inakabiliwa na mvua za radi lakini mwaka huu zimekuwa na mdhara makubwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni