Kamanda
mwandamizi wa Hezbollah nchini Syria, Mustafa Badreddine aliuwawa na
kombora lililofyatuliwa na wapiganaji wa vita ya Jihad, kwa mujibu wa
taarifa ya makundi ya Lebanon.
Kifo
cha Badreddine, karibu na uwanja wa ndege wa Damascus kilitangaza
jana na awali ilishutumiwa Israel kwa kuhusika na mauaji ya Mkuu huyo
wa kundi la Hezbollah.
Badreddine
anaaminika alikuwa akiongoza operesheni zote za kundi la Hezbollah
nchini Syria tangu mwaka 2011.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni