Wachezaji wa Uingereza wameshiriki
tamasha ya hisani ambapo mchezaji Wayne Rooney na mchezaji wa zamani
Gary Neville walipanda jukwani na kuimba pamoja na James Bay katika
tukio hilo lililofanyika jana.
Katika tamasha hilo wachezaji wa
Uingereza Gary Cahill, Joe Hart, Rooney, Chris Smalling pamoja na
James Milner walikuwa ni sehemu ya kikosi cha timu ya taifa Uingereza
kuhudhuria tamasha hilo la Mfuko wa Wachezaji wa Uingereza huko St
Albans.
Wayne Rooney akifurahi jambo jukwani wakati akiimba
Nyota mkongwe wa soka duniani Pele
alikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa
Wachezaji wa Timu ya Taifa Uingereza wakipozi kwa picha
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni