.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 20 Juni 2016

BAADA YA KUJISAIDIA KWENYE NDOO WABUNGE WALIOSHIKILIWA KWA TUHUMA ZA UCHOCHEZI KENYA WATAKA MAZINGIRA YA RUMANDE YABORESHWE


Baada ya kuachiwa huru kwa dhamana wabunge walioshtakiwa kwa kutoa matamshi ya kuchochea chuki Kenya, wamelalamikia mazingira dunia ya rumande wakati wakishikiliwa na polisi.

Mmoja wa wabunge hao wa jimbo la Kitutu Masaba, Tomothy Bosire amesema alijisikia kuathirika kisaikolojia pale alipolazimika kujisaidia haja ndogo na kubwa kwenye ndoo akiwa rumande mbele ya wenzake.

Bosire amesema kuwa vitendo vya udhalilishaji vya namna hiyo kwa watu wanaoshikiliwa na polisi vinapaswa kukoma. “Unaweza kufikiri hali ya mtu kujisaidia kwenye ndoo mbele ya wenzako wakikuangalia !,” alisema Bosire kwa mshangao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni