Idadi ya wabunge walioshiriki kupiga kura walikuwa 251 na wote wamepiga kura za ndiyo na kuipitisha bajeti Kuu hiyo kwa asilimia 100 pamoja na kupitisha sheria ya fedha kwa mwaka 2016/2017.
Picha zote zinahusu matukio yaliyotokea ndani na nje ya viunga vya Bunge mjini Dodoma, ikiwemo wabunge na baadhi ya wananchi waliohudhuria uhitimishaji wa Bajeti hiyo, wakimpongeza Waziri na watendaji wa Wizara ya Fedha na Mipango kwa kufanikisha kazi kubwa ya kuandaa bajeti hiyo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni