.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 19 Juni 2016

CHILE YAFANYA MAUAJI KWA MEXICO NA KUTINGA NUSU FAINALI COPA AMERICA


Mabingwa watetezi wa Copa America Chile watakutana na Colombia kwenye nusu fainali baada ya kuipa kichapo kikali Mexico cha magoli 7-0.

Katika mchezo huo Eduardo Vargas alifungia Chile magoli manne naye Edson Puch akifunga magoli mawili huku mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez akifunga goli la saba.
                                       Eduardo Vargas akikimbia kushangilia goli alilofunga 
       Eduardo Vargas akiruka juu kushangilia goli la pili alilofunga huku Sanchez akifurahia


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni