.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 19 Juni 2016

LIONEL MESSI AFIKIA REKODI YA MAGOLI YA GABRIEL BATISTUTA

Lionel Messi amefika rekodi ya Gabriel Batistuta yakuifungia Argentina magoli 54, wakati timu hiyo ya taifa ikiifunga Venezuela kwa magoli 4-1 na kutinga nusu fainali ya michuano ya Copa America.

Katika mchezo huo mshambuliaji huyo wa klabu ya Barcelona mbali na kufunga pia aliwatengenezea magoli Gonzalo Higuain aliyefunga magoli mawili na Erik Lamela na kuisaidia Argentina kutinga hatua ya nusu fainali ambapo watakutana na wenyeji Marekani.
   Gonzalo Higuain akimyanyua juu Lionel Messi baada ya kumpatia pande la kufunga goli

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni