.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 20 Juni 2016

CLEVELAND CAVALIERS YASHINDA UBINGWA WA NBA

Timu ya Cleveland Cavaliers imeshinda ubingwa wa NBA kwa kuwashinda mabingwa watetezi Golden State Warriors kwa pointi 93-89 katika fainali ya 7 iliyopigwa jumapili.

Ushindi huo ni wa kwanza mkubwa kuwahi kupata kwa timu ya Cleveland Cavaliers tangu mwaka 1964.

Mchezaji LeBron James alikuwa ni chachu ya ushindi na kutangazwa Mchezaji Ghali Kuliko Wote (MVP) kwa mwaka huu, ambapo alifunga pointi 27, rebaundi 11 na kutoa msaada mara 11.
         Lebron James akitokwa machozi kwa furaha huku akikumbatia kombe la NBA
    LeBron James akiwa na watoto wake akiongea na waandishi wa habari baada ya ushindi
  Kilio cha ushindi: Lebron James akimkumbatia mchezaji mwenzake huku akiangua kilio baada ya kupata ushindi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni