.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 21 Juni 2016

HALLE BERRY AIBUA UVUMI BAADA YA KUONEKANA NA MWANAUME MPYA

Muigizaji filamu nyota wa Marekani Halle Berry ameibua uvumi wa kuwa ameanzisha mapenzi mapya baada ya kuonekana na mwanaume mmoja.

Oktoba mwaka jana Halle Berry na mumewe Olivier Martinez walitangaza kutengana, na sasa Berry, 49, yupo singo na kuonekana akiwa amekumbatia na mwanaume huyo kumeibua uvumi.
   Halle Berry akiwa anaongozana na mwanaume huyo aliyeibua uvumi wa mahusiano mapya
        Licha ya kuwa na umri wa miaka 49 Halle Berry bado anaonekana mwenye mvuto


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni