.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 17 Juni 2016

MAFURIKO YALETA MAAFA NCHINI UINGEREZA NA KUIBUA KIZAZAA

Mafuriko yameyakumba baadhi ya maeneo ya Uingereza baada ya mvua kubwa kuonyesha huku mvua zaidi zikitegemewa eneo la kusini mwa nchi hiyo hii leo.

Mamlaka ya Hali ya Hewa ya nchi hiyo imetoa tahadhari ya kuwepo kwa hali mbaya ya hewa inayoambatana na mvua kubwa.

Wakala wa Mazingira wa Uingereza imetoa tahadhari ya mafuriko katika maeneo 10 na kutaka hatua za haraka kuchukuliwa kunusuru maisha ya watu na mali zao.
                                         Gari likiwa limesombwa na maji likiwa chini ya daraja
                                                                           Hali ilivyo barabarani 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni