Mamlaka ya Hali ya Hewa ya nchi hiyo
imetoa tahadhari ya kuwepo kwa hali mbaya ya hewa inayoambatana na
mvua kubwa.
Wakala wa Mazingira wa Uingereza
imetoa tahadhari ya mafuriko katika maeneo 10 na kutaka hatua za
haraka kuchukuliwa kunusuru maisha ya watu na mali zao.
Gari likiwa limesombwa na maji likiwa chini ya daraja




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni