.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 16 Juni 2016

MIILI YA WAHAMIAJI 34 YAKUTWA NIGER WAKIWEMO WATOTO 20

Nchi ya Niger imesema miili ya wahamiaji 34 wakiwemo watoto 20 imekutwa katika jangwa la Sahara karibu na mpaka wa Algeria.

Taarifa ya serikali ya Niger imesema miili hiyo imekutwa karibu na mji mdogo wa Assamakka.

Waziri wa Mambo ya Ndani Bazoum Mohammed amesema wahamiaji hao inaonekana wamekufa kutokana na kiu, baada kutelekezwa jangwani na wasafirishaji binadamu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni