.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 21 Juni 2016

WAFANYAKAZI WA BENKI CHINA WAKIPIGWA BAKORA KWA UTENDAJI MBOVU KAZINI

Video iliyosambazwa ikiwaonyesha wafanyakazi wa benki nchini China wakipigwa bakora hadharani kwa utendaji duni kazini, imeibua hasira za umma.

Video hiyo kwa mara ya kwanza ilionyeshwa kwenye shoo ya People's Daily, ikimuonyesha mwanaume mmoja akiwauliza wafanyakazi hao kwanini hawajiongezi kwa kupata mafunzo.

Licha ya wafanyakazi hao kujibu swali hilo kila moja, mwanaume huyo ambaye ni meneja wa benki hiyo alinza kuwacharaza bakora kwa kutumia ubao hadharani mbele ya wafanyakazi wenzao.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni